Page:Swahili tales.djvu/482

This page has been proofread.
462
MASHARI YA LIONGO.


Ningashahadize Korani yangu kalina,
Ilia uketeze kuwa uyimbo Mola karima,
"Wamá litiwa bi skairi kalilama."
Tufutufu mayi kizimbwiui yawanguruma ; ha'mwezi
kwima luiskapo wdmbi Ungama.

Ata maagano na makato ujikatayo,
Sangase mkono kumtenda akutendayo,
Kumlipa deni mtu kata akujiasayo.
Sipepese moyo kupepesa kwa uuwayo ; mtawapoua aduizo
wakula nyama.

Sange kumtenda mnitenda mawi yetama,
Kama chiambileo chuonimwe mwenyi atliama,
"Wa in 'akabitiim fakakibu bi mitbilima."
Pindi uonapo moto zita ukinguruma ; la Allah, ni mimi
niwashao maa kazima.

Nyani muurudi moyo waugu hukisakawi ?
Teteapo cheo hatta mtu simtambui,
Ninga watu sao ja mfano kama badui.
Naikutakuta kayatia katika wawi ; katinda kitinda ari-
thisha wangu mtima.




Ningalishudiza Korani yangu maneno
Lakini amekataza kuwa nyimbo Mola Karimu,
Hakuwaye kuwa mwimba nyimbo kabisa.
Cheumkoclieumko la maji katika kilindi zangurnma ;
ha'mwezi kusimama lirushapo wimbi katika
Ungama.

Acha mashuari na matendo ya moyo ujitendao,
Usizuie mkono kumtenda mambo akutendayo,
Kumlipa deni mtu kipimo akukopesheayo;
Usitie wasiwasi moyo kutagliafali na uuwaye ; na kwamba
hukuua aduizo watakula nyama.