Page:Swahili tales.djvu/494

This page has been proofread.


UTUMBUIZO WA GUKGU.
GUNGU LA KUFUNDA.


Pani kiti, nikae kitako,
Tumbuize waugu Mananazi,
Tumbuize wangu manamke,
Mpangua hamu ua simanzi.
Husimama tini wa mlango
Kiwa nde kwenda matembezi,
Chiwa nde kaingia sliugbuli,
Kiwaambia wakwe waandazi,
Kamwambia Sada na Kehema
Mwandani pasiwa ajizi,
Wandani, tendani haraka,
Mwaudae wali na mtuzi.
Akimbona nimelimatia,
Kaondoa chakwe kiyakazi,




The same in common Swahili.
 
Npeni kiti, nikae kitako,
Nipembeze Mananazi wangu,
Nipembeze mwauamke wangu,
Aniondoa bamu na simanzi.
Husimama chini ya mlango
Nikitoka kwenda kutembea,