Page:Swahili tales.djvu/495

This page has been proofread.





Nikitoka kufanya shughuli,
Huwaambia watumishi wake,
Akamwambia Sada na Rehema
Pikeni msikawilie.
Pikeni, mfanya upesi,
Mpike wali na mchuzi.
Akiniona nimekawilia,
Humtuma kijakazi chake.